DC Hapi ataka bara bara chakavu zikamilike kwa wakati.

DC Hapi ataka bara bara chakavu zikamilike kwa 
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Happi, ametembeleawakati. miradi ya bara bara iliyo kwenye mpango ya ujenzi Wilaya ya Kinondoni.
DC Hapi ataka bara bara chakavu zikamilike kwa wakati.
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Happi, ametembelea miradi ya bara bara iliyo kwenye mpango ya ujenzi Wilaya ya Kinondoni.
Miongoni mwa bara bara ambazo zilipatwa kutembelewa zikiwa chini ya ujenzi wa Tarura na Tanroad ni pamoja na daraja la Sinza uzuri, Bara bara ya Makongo juu inayounganisha Goba pamoja na bara bara ya Sala sala na Africana.
                                              
Akizungumza na waandishi wa habari Makongo juu , Jijini Dar es Salaam mara baada ya kukutana na Wanachi, Happi , alisema kuwa lengo la kujenga bara bara hizo ni kurahisiha usafiri kwa wananchi ili kufaidi kodi zao wanazozilipa kutoka Serikali kuu.
Ujenzi wa mradi wa bara bara ya ardhi-Makongo Goba unakadiriwa kuwa na urefu wa  KM 4.0 ambapo Km 3 ziko Manispaa ya Ubungo na Km 1 ipo  Manispaa ya Kinondoni.
Mradi huo wa bara bara ulioanza tarehe 1/2/2017  wenye mkataba wa miezi 12 unaotarajiwa kumalizika 31/1/2018  upo kwenye kiwango cha lami chenye 91%  unagharimu kiasi cha pesa taslimu chenye thamani ya Sh. 9,129,107,453.
Happi alisema pamoja na kasi ya ujenzi wa bara bara hiyo bado kuna changamoto za  kutoa taarifa ya uongo kwa mthamini jambo ambalo linachangia kwa kiasi kikubwa ucheleweshwaji wa mradi wa bara bara.

"Taarifa za uongo zimekuwa kikwazo, wapo wanaotoa taarifa za fidia ambazo sio sahihi, wengine waandika taarifa za watu waliofariki na wengine hawapo kwenye malipo, swala kama hili linaiingizia Taifa hasara na linachafua taswira ya nchi na miundombinu kubakia chakavu, naomba wakandarasi mlete taarifa za kweli ili tuzisaini mapema utekelezaji uanze haraka"alisema Happi
DC Happi aliwataka wale wote walivamia katika maeneoe ambayo yalipaswa kuongezwa kupisha upanuzi wa bara bara ya Africana waondoke wenye ndani ya wiki mbili kabla ya Serikali haijawaondoa.
DC Hapi ataka bara bara chakavu zikamilike kwa wakati.
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Happi, ametembelea miradi ya bara bara iliyo kwenye mpango ya ujenzi Wilaya ya Kinondoni.
Miongoni mwa bara bara ambazo zilipatwa kutembelewa zikiwa chini ya ujenzi wa Tarura na Tanroad ni pamoja na daraja la Sinza uzuri, Bara bara ya Makongo juu inayounganisha Goba pamoja na bara bara ya Sala sala na Africana.
                                              
Akizungumza na waandishi wa habari Makongo juu , Jijini Dar es Salaam mara baada ya kukutana na Wanachi, Happi , alisema kuwa lengo la kujenga bara bara hizo ni kurahisiha usafiri kwa wananchi ili kufaidi kodi zao wanazozilipa kutoka Serikali kuu.
Ujenzi wa mradi wa bara bara ya ardhi-Makongo Goba unakadiriwa kuwa na urefu wa  KM 4.0 ambapo Km 3 ziko Manispaa ya Ubungo na Km 1 ipo  Manispaa ya Kinondoni.
Mradi huo wa bara bara ulioanza tarehe 1/2/2017  wenye mkataba wa miezi 12 unaotarajiwa kumalizika 31/1/2018  upo kwenye kiwango cha lami chenye 91%  unagharimu kiasi cha pesa taslimu chenye thamani ya Sh. 9,129,107,453.
Happi alisema pamoja na kasi ya ujenzi wa bara bara hiyo bado kuna changamoto za  kutoa taarifa ya uongo kwa mthamini jambo ambalo linachangia kwa kiasi kikubwa ucheleweshwaji wa mradi wa bara bara.

"Taarifa za uongo zimekuwa kikwazo, wapo wanaotoa taarifa za fidia ambazo sio sahihi, wengine waandika taarifa za watu waliofariki na wengine hawapo kwenye malipo, swala kama hili linaiingizia Taifa hasara na linachafua taswira ya nchi na miundombinu kubakia chakavu, naomba wakandarasi mlete taarifa za kweli ili tuzisaini mapema utekelezaji uanze haraka"alisema Happi
DC Hapi ataka bara bara chakavu zikamilike kwa wakati.

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Happi, ametembelea miradi ya bara bara iliyo kwenye mpango ya ujenzi Wilaya ya Kinondoni.
Miongoni mwa bara bara ambazo zilipatwa kutembelewa zikiwa chini ya ujenzi wa Tarura na Tanroad ni pamoja na daraja la Sinza uzuri, Bara bara ya Makongo juu inayounganisha Goba pamoja na bara bara ya Sala sala na Africana.
                                              
Akizungumza na waandishi wa habari Makongo juu , Jijini Dar es Salaam mara baada ya kukutana na Wanachi, Happi , alisema kuwa lengo la kujenga bara bara hizo ni kurahisiha usafiri kwa wananchi ili kufaidi kodi zao wanazozilipa kutoka Serikali kuu.
Ujenzi wa mradi wa bara bara ya ardhi-Makongo Goba unakadiriwa kuwa na urefu wa  KM 4.0 ambapo Km 3 ziko Manispaa ya Ubungo na Km 1 ipo  Manispaa ya Kinondoni.
Mradi huo wa bara bara ulioanza tarehe 1/2/2017  wenye mkataba wa miezi 12 unaotarajiwa kumalizika 31/1/2018  upo kwenye kiwango cha lami chenye 91%  unagharimu kiasi cha pesa taslimu chenye thamani ya Sh. 9,129,107,453.
Happi alisema pamoja na kasi ya ujenzi wa bara bara hiyo bado kuna changamoto za  kutoa taarifa ya uongo kwa mthamini jambo ambalo linachangia kwa kiasi kikubwa ucheleweshwaji wa mradi wa bara bara.

"Taarifa za uongo zimekuwa kikwazo, wapo wanaotoa taarifa za fidia ambazo sio sahihi, wengine waandika taarifa za watu waliofariki na wengine hawapo kwenye malipo, swala kama hili linaiingizia Taifa hasara na linachafua taswira ya nchi na miundombinu kubakia chakavu, naomba wakandarasi mlete taarifa za kweli ili tuzisaini mapema utekelezaji uanze haraka"alisema Happi
DC Happi aliwataka wale wote walivamia katika maeneoe ambayo yalipaswa kuongezwa kupisha upanuzi wa bara bara ya Africana waondoke wenye ndani ya wiki mbili kabla ya Serikali haijawaondoa.
Aliwataka Wakandarasi wanaohusika na ujenzi wa kipande hicho cha batra bara chenye urefu wa Km 1 wapeleke mchakato wa kumpata mdhabuni mapema ii ujenzi uanze haraka.
"Wale mliovamia maeneo haya mtoke mapema , wale watao ifuata bara bara watalipwa stahiki zao ila wavamizi waondoke wenyewe, tukiwafuata watalipa fidia za ubomoja kutoka Serikalini" Aliongeza Happi
.

DC Happi aliwataka wale wote walivamia katika maeneoe ambayo yalipaswa kuongezwa kupisha upanuzi wa bara bara ya Africana waondoke wenye ndani ya wiki mbili kabla ya Serikali haijawaondoa.
Aliwataka Wakandarasi wanaohusika na ujenzi wa kipande hicho cha batra bara chenye urefu wa Km 1 wapeleke mchakato wa kumpata mdhabuni mapema ii ujenzi uanze haraka.
"Wale mliovamia maeneo haya mtoke mapema , wale watao ifuata bara bara watalipwa stahiki zao ila wavamizi waondoke wenyewe, tukiwafuata watalipa fidia za ubomoja kutoka Serikalini" Aliongeza Happi
.
Aliwataka Wakandarasi wanaohusika na ujenzi wa kipande hicho cha batra bara chenye urefu wa Km 1 wapeleke mchakato wa kumpata mdhabuni mapema ii ujenzi uanze haraka.
"Wale mliovamia maeneo haya mtoke mapema , wale watao ifuata bara bara watalipwa stahiki zao ila wavamizi waondoke wenyewe, tukiwafuata watalipa fidia za ubomoja kutoka Serikalini" Aliongeza Happi
.
Miongoni mwa bara bara ambazo zilipatwa kutembelewa zikiwa chini ya ujenzi wa Tarura na Tanroad ni pamoja na daraja la Sinza uzuri, Bara bara ya Makongo juu inayounganisha Goba pamoja na bara bara ya Sala sala na Africana.
                                              
Akizungumza na waandishi wa habari Makongo juu , Jijini Dar es Salaam mara baada ya kukutana na Wanachi, Happi , alisema kuwa lengo la kujenga bara bara hizo ni kurahisiha usafiri kwa wananchi ili kufaidi kodi zao wanazozilipa kutoka Serikali kuu.
Ujenzi wa mradi wa bara bara ya ardhi-Makongo Goba unakadiriwa kuwa na urefu wa  KM 4.0 ambapo Km 3 ziko Manispaa ya Ubungo na Km 1 ipo  Manispaa ya Kinondoni.
Mradi huo wa bara bara ulioanza tarehe 1/2/2017  wenye mkataba wa miezi 12 unaotarajiwa kumalizika 31/1/2018  upo kwenye kiwango cha lami chenye 91%  unagharimu kiasi cha pesa taslimu chenye thamani ya Sh. 9,129,107,453.
Happi alisema pamoja na kasi ya ujenzi wa bara bara hiyo bado kuna changamoto za  kutoa taarifa ya uongo kwa mthamini jambo ambalo linachangia kwa kiasi kikubwa ucheleweshwaji wa mradi wa bara bara.

"Taarifa za uongo zimekuwa kikwazo, wapo wanaotoa taarifa za fidia ambazo sio sahihi, wengine waandika taarifa za watu waliofariki na wengine hawapo kwenye malipo, swala kama hili linaiingizia Taifa hasara na linachafua taswira ya nchi na miundombinu kubakia chakavu, naomba wakandarasi mlete taarifa za kweli ili tuzisaini mapema utekelezaji uanze haraka"alisema Happi
DC Happi aliwataka wale wote walivamia katika maeneoe ambayo yalipaswa kuongezwa kupisha upanuzi wa bara bara ya Africana waondoke wenye ndani ya wiki mbili kabla ya Serikali haijawaondoa.
Aliwataka Wakandarasi wanaohusika na ujenzi wa kipande hicho cha batra bara chenye urefu wa Km 1 wapeleke mchakato wa kumpata mdhabuni mapema ii ujenzi uanze haraka.
"Wale mliovamia maeneo haya mtoke mapema , wale watao ifuata bara bara watalipwa stahiki zao ila wavamizi waondoke wenyewe, tukiwafuata watalipa fidia za ubomoja kutoka Serikalini" Aliongeza Happi

JIUNGE NASI , BONYEZA HAPA http://www.raiatanzania.blogspot.com ku-install App ya raiatanzania,  bila ya kuingia websiteTweet@Raia Tanzania online, youtube@Raia Tanzania online TV, Fb@Raia Tanzania online, insta@raia Tanzania online

.

Related

habari 386901426670476907

Post a Comment

emo-but-icon

item