Profesa Mbarawa akutana na wajumbe wa Bodi na watendaji wa TBA Jijini Dar es Salaa.




WaziriwaUjenzi,UchukuzinaMawasilianoProfesaMakameMbarawa,akitoamaelekezokwaMtendajiMkuuwaWakalawaMajengo(TBA),MsanifuMajengoEliusMwakalinga,katikakikaokazikilichowakutanishawajumbewaBodinabaadhiyawatendajiwaWakalahuokatikaofisizaWizarajijini Dar es Salaam leo.
 
KaimuKatibuMkuuwaWizarayaUjenzi, UchukuzinaMawasiliano (SektayaUjenzi), Dkt.William Nshama, akizungumzanawajumbewaBodinabaadhiyawatendajiwaWakalawaMajengo (TBA), katikakikaokazikilichofanyikakatikaofisizaWizarajijini Dar es Salaam leo,kujadilimaendeleoyautendajikaziwaWakalahuo.


MwenyekitiwaBodiyaWakalawaMajengo (TBA),Dkt. Edward NgwaleakifafanuajambokwaWaziriwaUjenzi, UchukuzinaMawasilianoProfesaMakameMbarawa, katikakikaokazikilichowakutanishawajumbewaBodinabaadhiyawatendajiwaWakalahuokatikaofisizaWizarajijini Dar es Salaam leo.
WajumbewaBodiwaWakalawaMajengo (TBA), wakifuatiliakwamakinimazungumzoyaWaziriwaUjenzi, UchukuzinaMawasiliano,ProfesaMakameMbarawa,katikakikaokazikilichofanyikakwenyeofisizaWizarajijiniDaresSalaamleo,kujadilimaendeleoyautendajikaziwaWakalahuo.

MtendajiMkuuwaWakalawaMajengo (TBA), MsanifuMajengoEliusMwakalinga, akisisitizajambokwaWaziriwaUjenzi,UchukuzinaMawasiliano,ProfesaMakameMbarawa,katikakikaokazikilichofanyikakwenyeofisizaWizarajijini Dar es Salaam leo,kujadilimaendeleoyautendajikaziwaWakalahuo.


Related

habari 8090893573411406216

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

item